Subscribe to:
Post Comments (Atom)
"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
This is a modal window.
Beginning of dialog window. Escape will cancel and close the window.
End of dialog window.
3 comments:
Jina 'Makoma' limenikumbusha kibao chao cha 'Butu na Moyi' wakati huo wimbo ndiyo 'kipya kinyemi' ilikuwa ukianza tu ITV, kila mwenye Tv ON anahakikisha ameweka volume 36 (HITACHI) na ambaye Tv imezimwa anahakikisha ameiwasha kisha full blast. Alikuwepo mmoja ameunga Tv kwenye spika za Panasonic sijui zilikuwa na Watts ngapi vile, alikuwa anafungulia full blast, basi toka floor ya 2 watu waliopo barabarani watasikia kama vile wamevaa headphones. Korido nzima inacheza na kusherehekea bila kujali hadi mwisho wa wimbo.
Aliyekuwa anasoma wakati huo inabidi aahirishe kwa muda, apende asipende!
Dah! Ilikuwa wapi hiyo Da Subi? Muhimbili ama? Nashukuru kama kuna kumbukumbu zozote njema zilizorejea kwa jina hili.
Nakutakia Jumapili njema
Umekisia sawa Mube mzee wa Chchzzzz!.
Post a Comment