Kuna wakati naamini hata walioandika nyimbo hizi hawakujua yanayoweza kutokea leo. NI KWA KUWA WALIZUNGUMZIA MATATIZO HALISI YA TANZANIA.
Umeshazisikiliza? Nazisikiliza na ntaziandikia


Tukutane wakati huo
"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
3 comments:
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja na kama haliji basi lilishapita.
Wanasema wasanii wazuri ni watabiri, na kweli kama alivyosema mkuu Mcharia lisemwalo lipoo kama halipo laja...!
Naungana na wenzangu!!kila nyimbo ina maana na mafundisho!
Post a Comment