Saturday, June 25, 2011

Miss Morogoro 2011

Tarehe 01 / 07 / 2011, katika hoteli ya Morogoro Hotel, warembo 15watapanda jukwaani kuwania taji la Miss Morogoro 2011. Shindanolitaanza saa mbili usiku hadi saa sita likishindikizwa na burudanikabambe toka kwa timu nzima ya Tip Top Connection, pamoja na vibwagizobabukubwa toka kwa msanii Wanne Star.Kiingilio kitakua 10,000 Tsh kwa mtu mmoja.
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WAKUFUNZI WAO, MRATIBU, MKURUGENZI WA FG ARTS PROMOTION, NA WAWAKILISHI WA WADHAMI WAO. AMBAO NI REDDS NA VODACOM TANZANIA.
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 KWENYE PICHA YA PAMOJA WAKIPATIWA ELIMU YA MAZINGIRA KUFUATIA KAULI MBIU YA SHINDANO HILO MWAKA HUU, AMBAYO NI “BETTER ENVIROMENT TODAY” (BET).
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 REHEME MARWA (KUSHOTO) NA SHARIFA ISSA (KULIA).
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 SALMA KUYELA (KUSHOTO) NA ASHA SALEH (KULIA).
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 TOKA KUSHOTO NI NAJMA ALLY, SALMA S. KUYELA NA BERTHALIUS USIRI.
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 TOKA KUSHOTO NI AGNESS ROISER, PENDO DANIEL NA HASNAT KHAMIS.
MSHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 ASHA SALEH AKIWA KAMBINI KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE.
MSHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 BERTHALIUS USIRI AKIWA KAMBINI KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE.
MSHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 SHARIFA ISSA AKIWA KAMBINI KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE.
MSHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 REHEMA MARWA AKIWA KAMBINI KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE.
MSHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 RUBY JOSEPH AKIWA KAMBINI KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE.
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 KWENYE PICHA YA PAMOJA WAKIPATIWA ELIMU YA MAZINGIRA KUFUATIA KAULI MBIU YA SHINDANO HILO MWAKA HUU, AMBAYO NI “BETTER ENVIROMENT TODAY” (BET).
BAADHI YA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 WAKIPATA KIFUNGUA KINYWA KAMBINI MWAO KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE MOROGORO.
BAADHI YA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 WAKIPATA CHAKULA CHA JIONI KAMBINI MWAO KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE MOROGORO.

Picha na habari kwa mujibu wa SOUL MAKINI: Wakala wa Miss Tanzania ngazi ya mikoa na Mratibu wa mashindano ya urembo mkoa wa Morogoro (Miss Morogoro 2011).

2 comments:

Unknown said...

Warembo wako bomba

Unknown said...

Warembo wako bomba