Hayati Mzee Jomo Kenyatta na mwanae






Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda sasa kutokana na ukweli kuwa sina hakika kama watu wa familia moja hufanya mambo yanayofanana kwa kuwayako ndani ya damu ama kwa kuwa kuna mwongozo mzuri na wa manufaa toka kwa mwanafamilia mwingine ameonesha njia katika hilo?
Unawakumbuka kina Njohole kwenye soka, Uvuruge kwenye muziki na wengineo wengi?
Hebu Tazama hapo kisha unisaidie kujibu.
Unawakumbuka kina Njohole kwenye soka, Uvuruge kwenye muziki na wengineo wengi?
Hebu Tazama hapo kisha unisaidie kujibu.
No comments:
Post a Comment