Tuesday, July 23, 2013

Ana kwa Ana na wadau wakuu wa GENN Radio (Kansas U.S.A)

Photo Credits: Swahili Villa blog
Karibu katika Mahojiano haya baina ya Jamii Production na wadau wakuu wa Global Entertainment and News Network (GENN) iliyopo Kansas City nchini Marekani. Katika mahojiano haya, utasikia Mkurugenzi wa kituo Bwn. Robert Otto na watangazaji AJ na Dada D wakizungumzia harakati zao kwenye kituo hiki kipya cha Radio.
 

No comments: