Sunday, July 28, 2013

Ana kwa Ana ya Sunday Shomari na Mhe. Edward Lowassa

Karibu katika sehemu mbili za mahojiano baina ya Mtangazaji Sunday Shomari na Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na M'bunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa yaliyofanyika siku ya Jumatano Julai 17, 2013 jijini Washington DC.
KARIBU

No comments: