Thursday, August 8, 2013

Eid Mubarak


Twapenda kuwatakia ndugu zetu waamini wa dini ya kiIslam siku njema na mwanzo mwema wa maisha mema waliyojifunza ama kuyaanza wakati wa mwezi mwema wa Ramadhani.
Tunawaombea muweze kuendeleza uvumilivu, kujitoa na kujali ambako mmeonesha wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa hakika mwezi umekuwa mwema miongoni mwetu kwa kuwa tumeishi maisha yampendezayo Mungu, na naamini kwa kuendeleza yale mema tuliyoyaishi katika mwezi huu, tunaweza kuufanya mwaka na miaka yote kuwa na wema kama ilivyokuwa kwenye mwezi huu.
IDD NJEMA

No comments: