Tuesday, August 27, 2013

Mjadala wa rasimu ya Katiba mpya DMV

Karibu katika sehemu mbili za mjadala uliohusisha BAADHI viongozi na wanaharakati wa siasa waishio Washington DC
Katika sehemu ya kwanza, wachangiaji walikuwa viongozi wa CHADEMA tawi la Washington DC ambao wameeleza mtazamo wao na wa chama chao kuhusu rasimu hiyo.
Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Tawi Bwn. Kaley Pandukizi, Katibu wake ambaye pia ni Afisa Habari Bwn Liberatus Mwang'ombe na Mweka Hazina wa Tawi Bwn. Ludigo Mhagama
Na katika sehemu ya pili, Mwenyekiti na Katibu wa CHADEMA DMV waliungana na mwanaharakati wa chama cha CUF ambaye pia ni mmoja wa waasisi na Katibu wa Zanzibar Diaspora USA Bwn. Shamis Abdul kujadili mambo mbalimbali katika katika
Karibu uungane nasi

No comments: