Monday, March 22, 2021

Tanzanian Abroad (TzA) Ep 2. Samuel Malonja

Samuel Malonja ni mzalishaji wa muziki wa muda mrefu amable amezalisha kazi zilizotumiwa na wasanii wengi maarufu nchini TanzaniaNa pia ni mzalishaji wa videos za matukio ama mahitaji mbalimbali.Mali na halo mawili, Sam pia (kupitia kampuni yak ya SamsPRO (www.samsprodstudio.com) anajishughulisha na masala ya picha.Amekuwa mkarimu sana kuketi nami kuzungumzia miasma take kikazi na namna ambavyo hata akiwa hapa Marekani, anarejesha huduma kwa namna tofauti nchini TanzaniaNi katika TzA ya Kwanza Productions

No comments: