Friday, August 11, 2023

Mawaidha ya ijumaa 11.8.2023 "Mazuri tunayo yakosa kwa kuchelewa kuswali jamaa"

Leo kwenye mawaidha ya ijumaa 11.8.2023 unatazama hotuba kutoka kwa Sheikh Salim Mubaraka Sazi wa masjid Abuu-bakari uliopo Mlandege Manispaa ya Iringa, akitukumbusha kuhusu "mazuri tunayoyakosa kwa kuchelewa kuswali jamaa".

No comments: