Monday, September 13, 2010

Mmmmmmhhhhhhhh!!!!!!!!!! Hii kali kwelikweli

TAZAMA mwenyewe

6 comments:

malkiory said...

Changamoto kwa askari wetu wenye vitambi!

emu-three said...

Hahahah, kweli manake hivi ikitokea vita hawa askrai wetu wataweza `kukrow..'

emuthree said...

Hii ni kwata ya ngapi vileeee! Tuliopitia mujibu wa sheria tunazikumbuka hizo...

Subi Nukta said...

Ipo moja ndefu mwanzo-mwisho dk 8 na sekunde kadhaa, bofya hapa uitizame.

chib said...

Kwisha kazi, ha ha haaa

John Mwaipopo said...

hii balaa